My Blog List

Tuesday, December 14, 2010

HIVI KWELI ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA?

Ni hali halisi ya shule ya msingi moja iliyoko huko mkoani Morogoro. Wanafunzi wanakaa chini, madarasa yamechoka mpaka basi, chini vumbi tupu yaani hali ni mbaya. Je kuna uwezekano wa shule kama hiyo kutoa wasomi watakao ongoza Taifa hili? tunadanganyana hapa hatoki msomi yoyote?

No comments:

Post a Comment